@oscarnickson Club ya Njombe Mji hiii Leo watashuka dimbani jioni ya hii Leo kukibiga dhidi ya maji maji ya songea katika uwanja Wa saba saba mkoani Njombe na afisa habari Wa club hiyo solanus Mhagama amesema maandalizi ya mchezo huo yamekamilika
Author: Mdigital beatz
Related Posts
Some simillar article from this label, you might also like
- Blog Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)