Siku sita zilizo pita sta wa muziki nchini marekani maarufu kama drake kupitia ukuras wake wa instagram alithibisha kifo cha rafiki yake kipenzi FIF , kulikuwa na uvumi kuwa fif alipigwa risasi katika jiji la toronto lakini kulikuwa hakuna uthibisho mpaka muda mchache baadaye ambapo TMZ,ilifanikiwa kuipata video ambayo inaelezea namna fif alivyouawa video hiyo inaelezea ya kuwa fif alisimama nje ya chumba chake huko toronto ambapo vijana wawili walijitokeza na kutupia risasi zaidi ya 10 na kukimbia.
R.I.P FIF
Author: Mdigital beatz
Related Posts
Some simillar article from this label, you might also like
- Blog Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)